Hemed: Mabinti wa kibongo hawanivutii, nilishapita nao kama 32 hivi!

2:58 PM



Tumekutana nayo hii kwenye blog ya mbunifu wa mavazi anayekuja kwa kasi nchini Martin Kadinda. Anasifika sana kwa kuwavisha mastaa wa Bongo zile suti za ‘marangirangi’ za single button, Hemed PHD akiwa mmoja wa ‘clients wake’.

So Martin alikuwa akipiga tu story na mteja wake na akamuuliza kama huwa anatumia condom kuwachapa nao! ‘We jamaa maswali gani hayo bana? mimi kondomu za nini? muda wote mimi nakwenda dry,” alijibu Hemed.

Kingine alisema kuwa jina lake la PHD limetokana na status yake ya kutembea na mademu kibao tena maarufu.

“Unauliza kengele kanisani??? unadhani kwanini naitwa Hemed PHD? nina taaluma ya kucheza na mioyo ya mabinti hawa wakibongo.... ila tatizo hawanivutii huwa napita tu kwakuwa nina hamu na wakati huo au ninakuwa sipo katika mahusiano na mtu yoyote,” alisema Hemed.


“Mpaka sasa nishawapitia 32... kwahiyo kuhusu majina katafute mwenyewe huko mtaani mbona stori zipo,” aliongeza.

Kwa kauli hiyo nadhani tumepata kirefu cha PHD,nacho ni PLAYER, HEARTBREAKER AND DESTROYER.

Tweets 11 za leo za Wema Sepetu zinazotia mashaka

2:53 PM

Wema Sepetu si mtumiaji wa mara kwa mara wa mtandao wa Twitter. Huingia mara chache ndani ya wiki japo siku akiingia hutumia muda huo kuchat kidogo na washkaji na kuandika mambo yake mwenyewe. 

Lakini leo tangu tuanze kumfollow mrembo huyu, hatujawahi kuona akiandika tweets nyingi kiasi hiki kama leo na tena zenye ujumbe wa msichana mwenye maumivu moyoni! What’s wrong with her? What’s really going on? Hizi ni tweets kumi za Wema alizoziandika leo na kutupa mashaka!

1. Luv comes 2 those who still hope although they've bin disappointed, to those hu still bliv although they've bin betrayed, to those hu stil need to love although they've bin hurt b4 and to those hu hav da courage nd faith to build trust again...

2.Never say goodbye if u still want to try, never give up if u still feel u can go on, never say u don't love a person anymore if u can't let go...\

3.There ar things ud love to hear dat u wud never hear from da person ud like to hear dem from, but don't be so deaf as not hear it from da one hu says it from da heart...

4.Giving some1 all ur love is never an assurance dat they love u baq, don't xpect love in return, jus wait for it to grow in their heart, but if it doesn't, be content it grew in urz...

5.The best kind of friend is da kind u can jus be wit, never say a word nd then walk away feeling like it was da best conversation u have never had...

6.Wen the door of happiness closes, another opens but often times we look so long at the closed door dat we cannot see da one dat has bin opend for us..

7.A sad thing in life is wen u meet someone hu means a lot to u, only to find out in da end dat it was never meant to be and u jus hav to let go...

8.Love is wen u take away the feeling, the passion and the romance in a relation nd find out u still care for dat person..

9.Mayb god wants us to meet a few wrong people b4 meeting da right one so dat wen we finally meet da right person we will knw how to b grateful for dat gift..

10.It hurts 2 luv som1 nd nat b luvd in return, but wat is more painful is 2 luv som1 nd never find da courage to let dat person knw how u feel...

11.It is true dat u don't knw wat u got until u lose it but its also truee dat u don't knw wat uve bin missin until it arrives...

Seriously!! what the hell is going on?
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates