JOBFIRE KUACHIA VIDEO SOON

1:16 PM

(Official video) MR BLUE FT MAJOR POWER - LOOSE CONTROL

1:13 PM
Video imefanywa na kallage ukiwa ni ujio wake mpya wa KALLA PCS video ni kali sana enjoy

DOGO JANJA ALIVYO AREJEA KWA KISHINDO BONGO

1:05 PM




Baada ya mapokezi hayo millardayo.com ilipata nafasi ya kuzungumza Exclusive na Dogo Janja ambae alisema amefurahishwa na hayo mapokezi na kusisitiza kwamba japo aliapa hatorudi kuja kusoma Dar wazazi wake wamemsihi kwamba zile zilikua hasira tu hivyo arudi Dar na aedelee na masomo kitu ambacho amekikubali kwa roho safi.
Janja amesema bado hajasaini mkataba mpya na WATANASHATI lakini kuna watu wake wawili anaowasubiri kwa ajili ya kuja kuupitia pamoja huo mkataba, baada ya hapo ndio atasaini kama amekubaliana nao na atatangaza.
Amesema amebadili mawazo na sasa atasoma Dar es salaam katika shule nzuri ambayo aliahidiwa na Ostaz Juma meneja wa Watanashati, atakua anapelekwa shule na kurudishwa nyumbani kwa gari, anachohitaji pia ni kusoma kwenye shule binafsi nzuri na pia swala lake la muziki kuzingatiwa.
kwenye sentensi nyingine amesema “sasa hivi nitakua naigiza na filamu pia na kina Kitale manake tuko nao kwenye kundi moja la watanashati”
Kwa kumalizia Janja amesema kauli mbiu ya wakati huu imebadilika “kauli mbiu ya wakati nilivyokujaga nilisema nawakalisha matembo sasa hivi nawalaza chali matembo”
HABARI NA MILLAR AYO

YALIYOJILI EPEQ BONGO STAR SEACH ZANZIBAR

1:02 PM
mshiriki akijifua kabla ya kufika kwa majaji

 
WASHIRIKI WAWILLI WAKITUPA FLEVA KIDOGO

  
MASTER JAY AKIMPA MKONO MPIGA PICHA MMOJA

MSHIRIKI AKIJARIBU KUPIGA NGOMA

WATOTO WALIOKUJA KUWAPA WASHIRIKI BURUDANI


AWAICHI MAWALLA WA ZANTEL AKIIMBA KWA AJILI YA MAJAJI
WASHIRIKI WAKISIKILIZA KWA MAKINI MAELEZO WANAYOPEWA

 WASHIRIKI WAKISUBIRI ZAMU YAO MBELE YA MAJAJI
MADAM RITA AKISIMAMA KUMPONGEZA SALMA YUSUF KWA KUIMBA VIZURI


WASHIRIKI WAKIPANGA MSTARI KINGIA KWA MAJAJI


           MSHIRIKI WA KWANZA KUFIKA KWENYE USAHILI NGOME KONGWE, SALMA YUSUF AKIWEKA GUITAR YAKE
MSHRIKI TOKA DODOMA, DAYNA BROWN AKIJARIBU KWA MARA YA PILI HUKU ZANZIBAR.

WASHIRIKI WAKIFANYA MAZOEZI YA KUIMBA KABLA YA KWENDA KWA MAJAJI

MSURURU WA WASHIRIKI WAKIFANYA USAJILI KWA AJILI YA EPIQ BONGO STAR SEARCH

MHIRIKI AKIPOKEA NAMBA YAKE YA USHIRIKI


YALIYOJIRI KWENYE UZINDUZI WA FILAMU MPYA YA WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL

12:44 PM

WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL

 Wageni waalikwa wakiitizama filamu hiyo ya Wema inayoitwa Super Star

 Quick Rocker & Frank Gonga

 Irene Uwoya

 mziki ulinoga viatu vikavuliwa

Mwanadada SHAA jana alifanya show nzuri sana na alitunzwa hela nyingi na kila mtu aliependa alichokuwa akikifanya. Napenda unavyojiamini Shaa endelea na uzi ule ule
Omotola & Wema Sepetu wakiingia ndani ya Hotel ya Giraffe 

 Hapa Wema alikuwa akimwambia kwa kithungu kile ambacho MC alichokuwa akikizungumza

Ben Kinyaiya, Omotola & Wema Sepetu, hapa alikuwa Omotola akizungumza na watanzania waliofika katika Hotel ya Giraffe

Babuu wa kitaa aka Babu Bomba akiwakaribisha mabibi Bomba kwa steji wapite kama Mamiss

 Mtoto huyu alikuja mbele na kuchukua picha za kumbukumbu katika iPad yake

 Baada ya hapo huyoooo akajikata zake, hana habari na mtu hahaa

 Marafiki zangu Jasmin & Zamda

 Hawa dada zangu bwana walikuwa na furaha sana walivyoniona wakasema jamani na sisi tunaomba tujiachie kwenye camera ya djchoka

 Chezea Vuvu wewe

 Na mimi nikapata picha ya kumbukumbu si mbaya...

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates