Home » Archives for 06/24/12
(Official video) MR BLUE FT MAJOR POWER - LOOSE CONTROL
1:13 PM
•
DOGO JANJA ALIVYO AREJEA KWA KISHINDO BONGO
1:05 PM
•
Baada ya mapokezi hayo millardayo.com ilipata nafasi ya kuzungumza Exclusive na Dogo Janja ambae alisema amefurahishwa na hayo mapokezi na kusisitiza kwamba japo aliapa hatorudi kuja kusoma Dar wazazi wake wamemsihi kwamba zile zilikua hasira tu hivyo arudi Dar na aedelee na masomo kitu ambacho amekikubali kwa roho safi.
Janja amesema bado hajasaini mkataba mpya na WATANASHATI lakini kuna watu wake wawili anaowasubiri kwa ajili ya kuja kuupitia pamoja huo mkataba, baada ya hapo ndio atasaini kama amekubaliana nao na atatangaza.
Amesema amebadili mawazo na sasa atasoma Dar es salaam katika shule nzuri ambayo aliahidiwa na Ostaz Juma meneja wa Watanashati, atakua anapelekwa shule na kurudishwa nyumbani kwa gari, anachohitaji pia ni kusoma kwenye shule binafsi nzuri na pia swala lake la muziki kuzingatiwa.
kwenye sentensi nyingine amesema “sasa hivi nitakua naigiza na filamu pia na kina Kitale manake tuko nao kwenye kundi moja la watanashati”
Kwa kumalizia Janja amesema kauli mbiu ya wakati huu imebadilika “kauli mbiu ya wakati nilivyokujaga nilisema nawakalisha matembo sasa hivi nawalaza chali matembo”
HABARI NA MILLAR AYO
YALIYOJILI EPEQ BONGO STAR SEACH ZANZIBAR
1:02 PM
•
mshiriki akijifua kabla ya kufika kwa majaji |
WASHIRIKI WAWILLI WAKITUPA FLEVA KIDOGO
MASTER JAY AKIMPA MKONO MPIGA PICHA MMOJA
MSHIRIKI AKIJARIBU KUPIGA NGOMA
WATOTO WALIOKUJA KUWAPA WASHIRIKI BURUDANI
AWAICHI MAWALLA WA ZANTEL AKIIMBA KWA AJILI YA MAJAJI
WASHIRIKI WAKISIKILIZA KWA MAKINI MAELEZO WANAYOPEWA
WASHIRIKI WAKISUBIRI ZAMU YAO MBELE YA MAJAJI
MADAM RITA AKISIMAMA KUMPONGEZA SALMA YUSUF KWA KUIMBA VIZURI
MSHIRIKI WA KWANZA KUFIKA KWENYE USAHILI NGOME KONGWE, SALMA YUSUF AKIWEKA GUITAR YAKE
MSHRIKI TOKA DODOMA, DAYNA BROWN AKIJARIBU KWA MARA YA PILI HUKU ZANZIBAR.
WASHIRIKI WAKIFANYA MAZOEZI YA KUIMBA KABLA YA KWENDA KWA MAJAJI
MSURURU WA WASHIRIKI WAKIFANYA USAJILI KWA AJILI YA EPIQ BONGO STAR SEARCH
MHIRIKI AKIPOKEA NAMBA YAKE YA USHIRIKI
YALIYOJIRI KWENYE UZINDUZI WA FILAMU MPYA YA WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL
12:44 PM
•
WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL
Wageni waalikwa wakiitizama filamu hiyo ya Wema inayoitwa Super Star
Quick Rocker & Frank Gonga
Irene Uwoya
mziki ulinoga viatu vikavuliwa
Mwanadada SHAA jana alifanya show nzuri sana na alitunzwa hela nyingi na kila mtu aliependa alichokuwa akikifanya. Napenda unavyojiamini Shaa endelea na uzi ule ule
Omotola & Wema Sepetu wakiingia ndani ya Hotel ya Giraffe
Hapa Wema alikuwa akimwambia kwa kithungu kile ambacho MC alichokuwa akikizungumza
Ben Kinyaiya, Omotola & Wema Sepetu, hapa alikuwa Omotola akizungumza na watanzania waliofika katika Hotel ya Giraffe
Babuu wa kitaa aka Babu Bomba akiwakaribisha mabibi Bomba kwa steji wapite kama Mamiss
Mtoto huyu alikuja mbele na kuchukua picha za kumbukumbu katika iPad yake
Baada ya hapo huyoooo akajikata zake, hana habari na mtu hahaa
Marafiki zangu Jasmin & Zamda
Hawa dada zangu bwana walikuwa na furaha sana walivyoniona wakasema jamani na sisi tunaomba tujiachie kwenye camera ya djchoka
Chezea Vuvu wewe
Na mimi nikapata picha ya kumbukumbu si mbaya...
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)